1 Chronicles 22:18

18 aAkawaambia, “Je, Bwana Mwenyezi Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya Bwana na watu wake.
Copyright information for SwhKC